Swali: Je, swalah ya kupatwa kwa jua ilitokea mara nyingi wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana. Ilitokea mara moja. Jua lilipatwa wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo akawaswalisha swalah ya kupatwa kwa jua.
Ama mwezi kupatwa ni jambo halikutokea wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
- Imechapishwa: 26/06/2018
Swali: Je, swalah ya kupatwa kwa jua ilitokea mara nyingi wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana. Ilitokea mara moja. Jua lilipatwa wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo akawaswalisha swalah ya kupatwa kwa jua.
Ama mwezi kupatwa ni jambo halikutokea wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
Imechapishwa: 26/06/2018
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-kupatwa-kwa-jua-ilitokea-mara-ngapi-wakati-wa-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)