Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya ´iyd? Ni vipi kumjibu anayewazuia wanawake na wasichana zake kushuhudia kwa hoja ya wao kuepuka kusongamana na wanamme?
Jibu: Hukumu yake ni lazima kwa wanamme na wanawake. Ni juu ya wanawake wenye hedhi kuhudhuria na washuhudie mkusanyiko [wa waislamu]. Kuhusu msongamano unaweza kuepukwa kwa mfano kwa kutembea kwa miguu au wakachukua njia nyingine.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 176
- Imechapishwa: 03/07/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya ´iyd? Ni vipi kumjibu anayewazuia wanawake na wasichana zake kushuhudia kwa hoja ya wao kuepuka kusongamana na wanamme?
Jibu: Hukumu yake ni lazima kwa wanamme na wanawake. Ni juu ya wanawake wenye hedhi kuhudhuria na washuhudie mkusanyiko [wa waislamu]. Kuhusu msongamano unaweza kuepukwa kwa mfano kwa kutembea kwa miguu au wakachukua njia nyingine.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 176
Imechapishwa: 03/07/2022
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-idi-inawalazimu-wanamme-na-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)