Swali: Kuna mtu aliingia katika Uislamu na ukafika wakati wa swalah. Alikuwa hajahifadhi kitu katika Qur-aan na anahitaji muda kidogo. Je, inajuzu kwake kuswali kama alivyo au ni lazima kwake kuhifadhi Qur-aan?
Jibu: Aswali na wale waislamu walioko pale. Aswali hata kama hakuhifadhi kitu katika Qur-aan. Asiache swalah. Ikiwa hakuna mtu mwenye kuswali, aswali vivyo hivyo kadri na anavyoweza. Ikiwa anajua kitu katika Qur-aan, akisome. Vinginevyo amhimidi Allaah, aseme kuwa Allaah ni mkubwa na aseme kuwa hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah. Kisha arukuu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 08/12/2016
Swali: Kuna mtu aliingia katika Uislamu na ukafika wakati wa swalah. Alikuwa hajahifadhi kitu katika Qur-aan na anahitaji muda kidogo. Je, inajuzu kwake kuswali kama alivyo au ni lazima kwake kuhifadhi Qur-aan?
Jibu: Aswali na wale waislamu walioko pale. Aswali hata kama hakuhifadhi kitu katika Qur-aan. Asiache swalah. Ikiwa hakuna mtu mwenye kuswali, aswali vivyo hivyo kadri na anavyoweza. Ikiwa anajua kitu katika Qur-aan, akisome. Vinginevyo amhimidi Allaah, aseme kuwa Allaah ni mkubwa na aseme kuwa hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah. Kisha arukuu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 08/12/2016
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-aliyesilimu-bila-ya-al-faatihah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)