Swali: Je, inafaa kuswali nyuma ya mshirikina?
Jibu: Ambaye ni kafiri kwa njia ya kwamba anamwabudu asiyekuwa Allaah na anataka uokozi viumbe katika yale mambo asiyoyaweza yeyote asiyekuwa Allaah, huyo hausihi uimamu wake. Hatakiwi kuwaongoza waislamu isipokuwa muislamu tu. Ambaye anamwabudu mwingine asiyekuwa Allaah, anamuwekea nadhiri mwingine asiyekuwa Allaah na anachinja kwa ajili ya mwingine asiyekuwa Allaah ni kafiri na mshirikina. Haijuzu akawaswalisha waislamu kwa sababu sio muislamu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/حكم-الصلاة-خلف-المشرك
- Imechapishwa: 20/06/2022
Swali: Je, inafaa kuswali nyuma ya mshirikina?
Jibu: Ambaye ni kafiri kwa njia ya kwamba anamwabudu asiyekuwa Allaah na anataka uokozi viumbe katika yale mambo asiyoyaweza yeyote asiyekuwa Allaah, huyo hausihi uimamu wake. Hatakiwi kuwaongoza waislamu isipokuwa muislamu tu. Ambaye anamwabudu mwingine asiyekuwa Allaah, anamuwekea nadhiri mwingine asiyekuwa Allaah na anachinja kwa ajili ya mwingine asiyekuwa Allaah ni kafiri na mshirikina. Haijuzu akawaswalisha waislamu kwa sababu sio muislamu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/حكم-الصلاة-خلف-المشرك
Imechapishwa: 20/06/2022
https://firqatunnajia.com/swalah-nyuma-ya-mshirikina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)