Swali: Niliswali nyuma ya Imamu na mimi nilikuwa katika safari. Imamu huyu hakunyanyua mikono yake wakati alipofungua Swalah kwa Takbiyr ya kwanza. Je, Swalah yangu ni sahihi?
Jibu: Kunyanyua mikono ni Sunnah na sio lazima. Baadhi ya wanachuoni wanaonelea hakuna kunyanyua mikono. Lakini Sunnah ni kunyanyua mikono wakati wa kufunga Swalah, kwenda katika Rukuu na wakati wa kuinuka kutoka kwenye Rukuu. Hii ndio Sunnah. Lau hakunyanyua hana juu yake kitu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (64) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13821
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Niliswali nyuma ya Imamu na mimi nilikuwa katika safari. Imamu huyu hakunyanyua mikono yake wakati alipofungua Swalah kwa Takbiyr ya kwanza. Je, Swalah yangu ni sahihi?
Jibu: Kunyanyua mikono ni Sunnah na sio lazima. Baadhi ya wanachuoni wanaonelea hakuna kunyanyua mikono. Lakini Sunnah ni kunyanyua mikono wakati wa kufunga Swalah, kwenda katika Rukuu na wakati wa kuinuka kutoka kwenye Rukuu. Hii ndio Sunnah. Lau hakunyanyua hana juu yake kitu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (64) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13821
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/swalah-nyuma-ya-imamu-asiyenyanyua-mikono/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)