Swali: Nikitawadha na nikakusudia kwa wudhuu´ wangu kuswali ´Aswr na nikaswali na nikabaki na twahara mpaka magharibi. Je, inafaa kuswali Maghrib kwa twahara ya swalah ya ´Aswr?
Jibu: Hakuna kikwazo cha kufanya hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliswali siku ya Ufunguzi wa Makkah swalah tano kwa wudhuu´ wa swalah ya Fajr kukiwemo Dhuhr na ´Aswr. Wakati ´Umar alipomuuliza akasema:
“Nimefanya kwa makusudi, ee ´Umar.”
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/هل-يجوز-الوضوء-الواحد-لكثر-من-صلاة
- Imechapishwa: 19/06/2022
Swali: Nikitawadha na nikakusudia kwa wudhuu´ wangu kuswali ´Aswr na nikaswali na nikabaki na twahara mpaka magharibi. Je, inafaa kuswali Maghrib kwa twahara ya swalah ya ´Aswr?
Jibu: Hakuna kikwazo cha kufanya hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliswali siku ya Ufunguzi wa Makkah swalah tano kwa wudhuu´ wa swalah ya Fajr kukiwemo Dhuhr na ´Aswr. Wakati ´Umar alipomuuliza akasema:
“Nimefanya kwa makusudi, ee ´Umar.”
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/هل-يجوز-الوضوء-الواحد-لكثر-من-صلاة
Imechapishwa: 19/06/2022
https://firqatunnajia.com/swalah-nyingi-za-faradhi-kwa-wudhuu-mmoja-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)