Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuswali faradhi nne kwa wudhuu´ mmoja?
Jibu: Hakuna neno. Hakuna neno kwa wudhuu´ mmoja mtu akaswali swalah nne au zaidi.
Mwendasha kipindi: Lakini bora ni yeye kutawadha au aendelee na wudhuu´ huohuo?
Jibu: Akitawadha tena ndio vyema na bora zaidi. Kwa sababu ni kufanya upya wudhuu´ akatawadha kwa ajili ya kila swalah. Asipotawadha hakuna neno kwake, kwani hayo yamethibiti kutoka katika matendo ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (15) http://binothaimeen.net/content/6792
- Imechapishwa: 13/02/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuswali faradhi nne kwa wudhuu´ mmoja?
Jibu: Hakuna neno. Hakuna neno kwa wudhuu´ mmoja mtu akaswali swalah nne au zaidi.
Mwendasha kipindi: Lakini bora ni yeye kutawadha au aendelee na wudhuu´ huohuo?
Jibu: Akitawadha tena ndio vyema na bora zaidi. Kwa sababu ni kufanya upya wudhuu´ akatawadha kwa ajili ya kila swalah. Asipotawadha hakuna neno kwake, kwani hayo yamethibiti kutoka katika matendo ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (15) http://binothaimeen.net/content/6792
Imechapishwa: 13/02/2021
https://firqatunnajia.com/swalah-nne-kwa-wudhuu-mmoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)