Swali: Nilitembea katika mji mmoja wa kiarabu na nikaswali swalah ya faradhi kwenye msikiti mmoja ulio na kaburi. Je, swalah yangu ni sahihi au ni lazima niirudi tena hata kama ni baada ya muda?
Jibu: Ni lazima uirudi tena. Swalah ya kwenye makaburi sio sahihi kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza hilo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Nilitembea katika mji mmoja wa kiarabu na nikaswali swalah ya faradhi kwenye msikiti mmoja ulio na kaburi. Je, swalah yangu ni sahihi au ni lazima niirudi tena hata kama ni baada ya muda?
Jibu: Ni lazima uirudi tena. Swalah ya kwenye makaburi sio sahihi kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza hilo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/swalah-ndani-ya-msikiti-ulio-na-kaburi-si-sahihi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)