Swali: Ni ipi hukumu kwa wale wanaoswali na mkusanyiko misikitini lakini hata hivyo wanajishughulisha na maneno ya kipuuzi na kusengenya na kueneza uvumi kati ya watu?
Jibu: Kule kuswali kwao na mkusanyiko msikitini wametekeleza faradhi. Wameitekeleza na himdi zote ni za Allaah.
Kuhusiana na kuwasengenya watu ni dhambi nyingine. Wamefanya vizuri kwa njia ya kwamba wametekeleza swalah kwa mkusanyiko na wamefanya vibaya kwa njia ya kwamba wanawasengenya watu. Ni juu yao kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: uruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13398
- Imechapishwa: 27/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu kwa wale wanaoswali na mkusanyiko misikitini lakini hata hivyo wanajishughulisha na maneno ya kipuuzi na kusengenya na kueneza uvumi kati ya watu?
Jibu: Kule kuswali kwao na mkusanyiko msikitini wametekeleza faradhi. Wameitekeleza na himdi zote ni za Allaah.
Kuhusiana na kuwasengenya watu ni dhambi nyingine. Wamefanya vizuri kwa njia ya kwamba wametekeleza swalah kwa mkusanyiko na wamefanya vibaya kwa njia ya kwamba wanawasengenya watu. Ni juu yao kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: uruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13398
Imechapishwa: 27/04/2018
https://firqatunnajia.com/swalah-na-kusengenya-watu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)