Swali: Swalah moja ambayo ni sawa na swalah 100.000 ni Haram yote au ni kwenye Msikiti Mtakatifu peke yake?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba ni Haram yote; vyote vilivyoko kwenye mpaka wa Haram vinaitwa “msikiti Mtakatifu”. Hata hivyo lililo bora zaidi ni kuswali karibu na Ka´bah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-13.mp3
- Imechapishwa: 12/06/2018
Swali: Swalah moja ambayo ni sawa na swalah 100.000 ni Haram yote au ni kwenye Msikiti Mtakatifu peke yake?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba ni Haram yote; vyote vilivyoko kwenye mpaka wa Haram vinaitwa “msikiti Mtakatifu”. Hata hivyo lililo bora zaidi ni kuswali karibu na Ka´bah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-13.mp3
Imechapishwa: 12/06/2018
https://firqatunnajia.com/swalah-100-000-ni-makkah-yote-au-ni-msikiti-mtakatifu-tu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)