Swali: Suufiyyah wote waliopo hii leo wanazingatiwa ni washirikina au kuna Suufiyyah wasiokuwa washirikina?
Jibu: Suufiyyah hawako sawa. Wale wanaoomba badala ya Allaah, wakachinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah na wakaweka nadhiri kwa asiyekuwa Allaah ni washirikina. Kuhusu wale wenye kuonelea kuipa nyongo dunia, unyenyekevu na kuacha baadhi ya mambo ya halali ni kosa. Lakini hata hivyo hawafikii kiwango cha kufuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (13) http://alfawzan.af.org.sa/node/2056
- Imechapishwa: 15/04/2017
Swali: Suufiyyah wote waliopo hii leo wanazingatiwa ni washirikina au kuna Suufiyyah wasiokuwa washirikina?
Jibu: Suufiyyah hawako sawa. Wale wanaoomba badala ya Allaah, wakachinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah na wakaweka nadhiri kwa asiyekuwa Allaah ni washirikina. Kuhusu wale wenye kuonelea kuipa nyongo dunia, unyenyekevu na kuacha baadhi ya mambo ya halali ni kosa. Lakini hata hivyo hawafikii kiwango cha kufuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (13) http://alfawzan.af.org.sa/node/2056
Imechapishwa: 15/04/2017
https://firqatunnajia.com/suufiyyah-wote-leo-ni-washirikina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)