Imaam Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
“al-Junayd ameeleza kwamba Abu Sulaymaan ad-Daaraaniy amesema:
“Wakati mwingine ilikuwa inaweza kutokea nasikia nukta kutoka katika nukta za watu ambayo inakita kwa masiku mengi. Siikubali isipokuwa kwa mashahidi wawili waadilifu kutoka katika Qur-aan na Sunnah.”[1]
al-Junayd huyu alikuwa ni katika viongozi wa Suufiyyah. Lakini hata hivyo alikuwa katika Suufiyyah wa kati na kati. Wale Suufiyyah wa mwanzo. Walikuwa kati na kati na hawaendi kinyume na Sunnah. Walikuwa wakifanya bidii katika ´ibaadah na wakifuata Sunnah. Mmoja wao ni al-Junayd.
[1] Ighaathat-ul-Lahfaan (1/91).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (33) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%2023%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 08/02/2018
Imaam Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
“al-Junayd ameeleza kwamba Abu Sulaymaan ad-Daaraaniy amesema:
“Wakati mwingine ilikuwa inaweza kutokea nasikia nukta kutoka katika nukta za watu ambayo inakita kwa masiku mengi. Siikubali isipokuwa kwa mashahidi wawili waadilifu kutoka katika Qur-aan na Sunnah.”[1]
al-Junayd huyu alikuwa ni katika viongozi wa Suufiyyah. Lakini hata hivyo alikuwa katika Suufiyyah wa kati na kati. Wale Suufiyyah wa mwanzo. Walikuwa kati na kati na hawaendi kinyume na Sunnah. Walikuwa wakifanya bidii katika ´ibaadah na wakifuata Sunnah. Mmoja wao ni al-Junayd.
[1] Ighaathat-ul-Lahfaan (1/91).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (33) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%2023%20-%201%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 08/02/2018
https://firqatunnajia.com/suufiy-mzuri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)