Swali: Je, kuna Sunnah maalum inayofanywa usiku wa kuamkia ´Iyd?
Jibu: Sijui Sunnah yoyote maalum ya kufanywa usiku wa kuamkia ´Iyd zaidi ya kile kinachotambulika na Takbiyr iliyothibiti katika maneno Yake (Ta´ala):
وَلِتُكْمِلُوا الْعِدَّةَ وَلِتُكَبِّرُوا اللَّـهَ عَلَىٰ مَا هَدَاكُمْ وَلَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ
“Ili mkamilishe idadi na ili mumkabiri Allaah kwa kuwa amekuongozeni na ili mpate kushukuru.”[1]
Kumepokelewa Hadiyth kuhusu fadhilah za kuhuisha usiku wa kuamkia ´Iyd, lakini wanachuoni wameitia dosari na ndio maana sithubutu kuzungumzia kitu chochote maalum.
[1] 02:185
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/209-210)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Je, kuna Sunnah maalum inayofanywa usiku wa kuamkia ´Iyd?
Jibu: Sijui Sunnah yoyote maalum ya kufanywa usiku wa kuamkia ´Iyd zaidi ya kile kinachotambulika na Takbiyr iliyothibiti katika maneno Yake (Ta´ala):
وَلِتُكْمِلُوا الْعِدَّةَ وَلِتُكَبِّرُوا اللَّـهَ عَلَىٰ مَا هَدَاكُمْ وَلَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ
“Ili mkamilishe idadi na ili mumkabiri Allaah kwa kuwa amekuongozeni na ili mpate kushukuru.”[1]
Kumepokelewa Hadiyth kuhusu fadhilah za kuhuisha usiku wa kuamkia ´Iyd, lakini wanachuoni wameitia dosari na ndio maana sithubutu kuzungumzia kitu chochote maalum.
[1] 02:185
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/209-210)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/sunnah-usiku-wa-kuamkia-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)