Swali: Ni lazima kwa mwanamke anapokuwa msikitini kati ya wanawake na anaswali nyuma ya imamu afunike uso wake?
Jibu: Halazimiki kufanya hivo akiwa kati ya wanawake na mbele yake hakuna wanaume wa kando naye. Katika hali hiyo Sunnah ni yeye kuacha uso wazi. Lakini asionyeshe kitu katika nywele zake. Anapasa kufunika nywele, kichwa na mwili wake mzima mbali na uso. Lakini kama anaswali mbele ya wanamme basi anatakiwa kufunika uso wake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
- Imechapishwa: 16/07/2021
Swali: Ni lazima kwa mwanamke anapokuwa msikitini kati ya wanawake na anaswali nyuma ya imamu afunike uso wake?
Jibu: Halazimiki kufanya hivo akiwa kati ya wanawake na mbele yake hakuna wanaume wa kando naye. Katika hali hiyo Sunnah ni yeye kuacha uso wazi. Lakini asionyeshe kitu katika nywele zake. Anapasa kufunika nywele, kichwa na mwili wake mzima mbali na uso. Lakini kama anaswali mbele ya wanamme basi anatakiwa kufunika uso wake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
Imechapishwa: 16/07/2021
https://firqatunnajia.com/sunnah-ni-kuacha-uso-wazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)