Swali: Ni ipi Sunnah katika swalah ya ´Iyd? Je, watu waswali msikitini au jangwani? Ikiwa jibu ni kwamba watu waswali jangwani mji unaendelea kupanuka na kila ambapo kunatengwa mahali pa kuswalia kwa ajili ya ´Iyd basi majengo yanajengwa pembezoni mwake na kunakuwa hakuna ule wasifu wa kwamba ni jangwani.
Jibu: Sunnah katika swalah ya ´Iyd iswaliwe jangwani. Hivo ndivo alivokuwa akifanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mji ukipanuka basi inatakiwa kuhamisha sehemu ya kuswalia kwenda jangwani. Ikiwa hilo haliwezekani basi hakuna neno. Kwa sababu uwanja wa kuswalia kuwa jangwani sio kwa njia ya uwajibu. Bali ni kwa njia ya mapendekezo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/233)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Ni ipi Sunnah katika swalah ya ´Iyd? Je, watu waswali msikitini au jangwani? Ikiwa jibu ni kwamba watu waswali jangwani mji unaendelea kupanuka na kila ambapo kunatengwa mahali pa kuswalia kwa ajili ya ´Iyd basi majengo yanajengwa pembezoni mwake na kunakuwa hakuna ule wasifu wa kwamba ni jangwani.
Jibu: Sunnah katika swalah ya ´Iyd iswaliwe jangwani. Hivo ndivo alivokuwa akifanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mji ukipanuka basi inatakiwa kuhamisha sehemu ya kuswalia kwenda jangwani. Ikiwa hilo haliwezekani basi hakuna neno. Kwa sababu uwanja wa kuswalia kuwa jangwani sio kwa njia ya uwajibu. Bali ni kwa njia ya mapendekezo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/233)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/sunnah-katika-swalah-ya-iyd-ni-jangwani-na-sehemu-palipo-wazi-na-si-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)