Swali: Inajuzu kuleta sujudu ya kusahau (سجود السهو) daima kabla ya Tasliym au daima baada ya Tasliym?
Jibu: Yote mawili yanajuzu, lakini lililo bora zaidi ni kuileta kabla ya Tasliym ikiwa mtu amepunguza kitu katika swalah na kuileta baada ya Tasliym ikiwa mtu ameongeza kitu katika swalah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 03/11/2017
Swali: Inajuzu kuleta sujudu ya kusahau (سجود السهو) daima kabla ya Tasliym au daima baada ya Tasliym?
Jibu: Yote mawili yanajuzu, lakini lililo bora zaidi ni kuileta kabla ya Tasliym ikiwa mtu amepunguza kitu katika swalah na kuileta baada ya Tasliym ikiwa mtu ameongeza kitu katika swalah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
Imechapishwa: 03/11/2017
https://firqatunnajia.com/sujuud-us-sahuw-ilio-bora/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)