Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kutumia Siwaak wakati wa swalah. Je, makusudio ni katika swalah za faradhi na swalah za sunnah au ni jambo linalofanywa tu wakati wa swalah za faradhi?
Jibu: Hapana, si jambo maalum wakati wa swalah za faradhi. Inahusiana na kila swalah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 11/07/2018
Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kutumia Siwaak wakati wa swalah. Je, makusudio ni katika swalah za faradhi na swalah za sunnah au ni jambo linalofanywa tu wakati wa swalah za faradhi?
Jibu: Hapana, si jambo maalum wakati wa swalah za faradhi. Inahusiana na kila swalah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 11/07/2018
https://firqatunnajia.com/siwaak-wakati-wa-kila-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)