Mtu ataona tofauti nyingi katika ´Aqiydah na mambo ya ´ibaadah. Watu wanafuata matamanio na maoni mbalimbali. Hata hivyo sisi hatuwafuati watu. Tunayapima yale waliyomo watu na Qur-aan na Sunnah. Yale yanayoafikiana na Qur-aan na Sunnah ndio haki na yenye kwenda kinyume nayo ni batili.
- Mhusika: aam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Sharh-is-Sunnah, uk. 29
- Imechapishwa: 18/10/2017
Mtu ataona tofauti nyingi katika ´Aqiydah na mambo ya ´ibaadah. Watu wanafuata matamanio na maoni mbalimbali. Hata hivyo sisi hatuwafuati watu. Tunayapima yale waliyomo watu na Qur-aan na Sunnah. Yale yanayoafikiana na Qur-aan na Sunnah ndio haki na yenye kwenda kinyume nayo ni batili.
Mhusika: aam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Sharh-is-Sunnah, uk. 29
Imechapishwa: 18/10/2017
https://firqatunnajia.com/sisi-hatuwafuati-watu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)