Sisi (Shiy´ah) hatukusanyiki pamoja nao (Ahl-us-Sunnah) juu ya Mungu, wala juu ya Mtume wala juu ya kiongozi. Hilo ni kwa sababu wao (Ahl-us-Sunnah) wanasema kwamba Mola wao ni yule ambaye Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye Mtume wake na khaliyfah wake baada yake ni Abu Bakr. Sisi (Shiy´ah) hatumwamini Mola huyu wala Mtume huyu. Bali tunasema kwamba Mola ambaye khaliyfah wake ni Abu Bakr sio Mola wetu wala Mtume huyo sio Mtume wetu.
- Mhusika: Ni´matullaah al-Jazaairiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Anwaar an-Nu´maniyyah (02/278)
- Imechapishwa: 07/12/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)