Ni jambo lenye kujulikana ya kwamba kuitikiwa Du´aa ni katika athari ya uola wa Allaah (Jalla wa ´Alaa) kwa viumbe Wake. Kutokana na hili, kuitikiwa Du´aa haiwi kwa muumini peke yake pasina kafiri. Bali kafiri na muovu wanaweza kuitikiwa pia. Bali hata Ibliys aliitikiwa. Kwa kuwa kuitikiwa Du´aa ni miongoni mwa athari za uola, kama mfano wa riziki ya Allaah (Jalla wa ´Alaa) kwa viumbe Wake na kuwapa vitu vingine wanavyoweza kuwa wanahitajia. Hivyo basi, mnaswara anaweza kuomba na akaitikiwa Du´aa yake. Vilevile mshirikina na kadhalika.
Kuitikia huku sio kwa sababu anakustahiki, isipokuwa ni kwa sababu ndani ya moyo wake kumepatikana unyenyekevu, dhiki na haja kwa Mola Wake (Jalla wa ´Alaa). Uola ni kwa muumini na kwa kafiri pia.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 196
- Imechapishwa: 16/05/2020
Ni jambo lenye kujulikana ya kwamba kuitikiwa Du´aa ni katika athari ya uola wa Allaah (Jalla wa ´Alaa) kwa viumbe Wake. Kutokana na hili, kuitikiwa Du´aa haiwi kwa muumini peke yake pasina kafiri. Bali kafiri na muovu wanaweza kuitikiwa pia. Bali hata Ibliys aliitikiwa. Kwa kuwa kuitikiwa Du´aa ni miongoni mwa athari za uola, kama mfano wa riziki ya Allaah (Jalla wa ´Alaa) kwa viumbe Wake na kuwapa vitu vingine wanavyoweza kuwa wanahitajia. Hivyo basi, mnaswara anaweza kuomba na akaitikiwa Du´aa yake. Vilevile mshirikina na kadhalika.
Kuitikia huku sio kwa sababu anakustahiki, isipokuwa ni kwa sababu ndani ya moyo wake kumepatikana unyenyekevu, dhiki na haja kwa Mola Wake (Jalla wa ´Alaa). Uola ni kwa muumini na kwa kafiri pia.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 196
Imechapishwa: 16/05/2020
https://firqatunnajia.com/siri-iliyopo-ya-kuitikiwa-duaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)