Swali: Je, imethibiti kuwa Ibn Hazm (Rahimahu Allaah) anapinga karama?
Jibu: Sijui. Sijui hilo. Lakini hata hivyo anaweza kuwa anapinga yale yanayodaiwa kuwa ni karama. Pengine akawa anapinga yale yanayodaiwa kuwa ni karama ilihali sio karama. Sio kila kinachosemwa kuwa ni karama ni kweli.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (13) http://alfawzan.af.org.sa/node/2128
- Imechapishwa: 05/07/2020
Swali: Je, imethibiti kuwa Ibn Hazm (Rahimahu Allaah) anapinga karama?
Jibu: Sijui. Sijui hilo. Lakini hata hivyo anaweza kuwa anapinga yale yanayodaiwa kuwa ni karama. Pengine akawa anapinga yale yanayodaiwa kuwa ni karama ilihali sio karama. Sio kila kinachosemwa kuwa ni karama ni kweli.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (13) http://alfawzan.af.org.sa/node/2128
Imechapishwa: 05/07/2020
https://firqatunnajia.com/sio-kila-kinachodaiwa-ni-karama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)