Kama inavyosemwa:
”Kutokana na mlivyo ndivo mtatawaliwa.”[1]
Ijapo hii sio kanuni inayothibiti moja kwa moja. Kwani zama zinaweza kugeuka kwa muda wa siku moja. Chukua mfano wa makhaliyfah wa Banuu Umayyah waliokuwa wakiishi kabla ya ´Umar bin ´Abdil-´Aziyz. Kulikuwa kuna tofauti kubwa baina yake yeye na wale waliokuwa kabla na baada yake. Pamoja na kwamba raia ni haohao. Haikubadilika haraka kwa mara moja tu.
[1] Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”adh-Dhwa´iyfah” (320).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (831)
- Imechapishwa: 09/10/2020
Kama inavyosemwa:
”Kutokana na mlivyo ndivo mtatawaliwa.”[1]
Ijapo hii sio kanuni inayothibiti moja kwa moja. Kwani zama zinaweza kugeuka kwa muda wa siku moja. Chukua mfano wa makhaliyfah wa Banuu Umayyah waliokuwa wakiishi kabla ya ´Umar bin ´Abdil-´Aziyz. Kulikuwa kuna tofauti kubwa baina yake yeye na wale waliokuwa kabla na baada yake. Pamoja na kwamba raia ni haohao. Haikubadilika haraka kwa mara moja tu.
[1] Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”adh-Dhwa´iyfah” (320).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (831)
Imechapishwa: 09/10/2020
https://firqatunnajia.com/sio-kanuni-inayopita-moja-kwa-moja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)