141- Nilimuuliza baba yangu kama msalimu analazimika kuoga. Akajibu:
“Imesemekana kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemwamrisha msilimu kuoga; Hadiyth ya Qays bin ´Aaswim.”
Nilimuuliza baba yangu:
“Na ikiwa alioga kabla ya kusilimu?”
Akajibu:
“Hapana. Msilimu anatakiwa kuoga kwa sababu ya kule kuacha ukafiri wake. Hata hivyo hawa wanasema kuwa ni sawa kuoga kwanza kisha ndio mtu asilimu.”
- Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/113)
- Imechapishwa: 06/02/2021
141- Nilimuuliza baba yangu kama msalimu analazimika kuoga. Akajibu:
“Imesemekana kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemwamrisha msilimu kuoga; Hadiyth ya Qays bin ´Aaswim.”
Nilimuuliza baba yangu:
“Na ikiwa alioga kabla ya kusilimu?”
Akajibu:
“Hapana. Msilimu anatakiwa kuoga kwa sababu ya kule kuacha ukafiri wake. Hata hivyo hawa wanasema kuwa ni sawa kuoga kwanza kisha ndio mtu asilimu.”
Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/113)
Imechapishwa: 06/02/2021
https://firqatunnajia.com/silimu-kwanza-kisha-ndio-uoge/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)