Mapenzi haya ni kwa nani? Kwa Iblisi? Au kwa al-Masiyh (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Au ni mapenzi kati yao? Hakuna mapenzi kati yao ikiwa ni makafiri:
تَحْسَبُهُمْ جَمِيعًا وَقُلُوبُهُمْ شَتَّىٰ
“Utawadhania wako pamoja, kumbe nyoyo zao ziko mbalimbali.” (49:14)
Wanasema kwamba ni mapenzi kwa nisba ya mwanamke? Ni uasherati.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.darulhadith.com/v2/alla-hjartans-dag-ar-en-kristen-hogtid/
- Imechapishwa: 14/02/2017
Swali: Kumekuja maswali mengi juu ya siku ya wapendanao (Valentine). Wanataraji kama unaweza kubainisha khatari ya kusherehekea sikukuu hii na kamati ya al-Lajnah ad-Daaimah itoe fatwa kuhusu hilo.
Jibu: Siku ya wapendanao? Ni sikukuu ya kinaswara. Haijuzu kwa Waislamu kushiriki katika hilo. Haitakiwi kwao kuita katika hilo kama jinsi haitakiwi vilevile kushuhudia uongo. Hii ni sikukuu ya makafiri na haitakiwi kuita katika hilo.
Mapenzi haya ni kwa nani? Kwa Iblisi? Au kwa al-Masiyh (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Au ni mapenzi kati yao? Hakuna mapenzi kati yao ikiwa ni makafiri:
تَحْسَبُهُمْ جَمِيعًا وَقُلُوبُهُمْ شَتَّىٰ
“Utawadhania wako pamoja, kumbe nyoyo zao ziko mbalimbali.” (49:14)
Wanasema kwamba ni mapenzi kwa nisba ya mwanamke? Ni uasherati.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.darulhadith.com/v2/alla-hjartans-dag-ar-en-kristen-hogtid/
Imechapishwa: 14/02/2017
https://firqatunnajia.com/siku-ya-wapendanao-ni-sikukuu-ya-kinaswara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)