Swali: Ninaposahau du´aa ya Witr nalazimika kusujudu sijda ya kusahau? Vilevile wakati sisomi kwa sauti ya juu katika wakati ambao ni lazima kusoma kwa sauti ya juu na nimefanya hivo kwa kusahau?
Jibu: Si lazima mtu akiacha Qunuut kwa kusahau au asisomi kwa sauti ya juu katika swalah ya kusoma kwa sauti ya juu kwa kusahau. Haimlazimu kusujusu sijda ya kusahau. Lakini hapana neno akisujudu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/278)
- Imechapishwa: 02/11/2021
Swali: Ninaposahau du´aa ya Witr nalazimika kusujudu sijda ya kusahau? Vilevile wakati sisomi kwa sauti ya juu katika wakati ambao ni lazima kusoma kwa sauti ya juu na nimefanya hivo kwa kusahau?
Jibu: Si lazima mtu akiacha Qunuut kwa kusahau au asisomi kwa sauti ya juu katika swalah ya kusoma kwa sauti ya juu kwa kusahau. Haimlazimu kusujusu sijda ya kusahau. Lakini hapana neno akisujudu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/278)
Imechapishwa: 02/11/2021
https://firqatunnajia.com/sijda-ya-kusahau-akiacha-duaa-ya-witr-au-ameacha-kusoma-kwa-sauti-ya-juu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)