Masuala ya sigara ni miongoni mwa mambo yenye kuudhi na yenye kudhuru pia. Vivyo hivyo mirungi inazingatiwa ni miongoni mwa vitu vyenye kudhuru mwili na kudhuru afya ya mtu. Ni kweli kwamba mirungi inadhuru mwili wako, mali yako na inapoteza muda wako. Kwa hiyo haina kheri yoyote ndani yake. Vi vitu vya khatari kwenye mioyo yetu.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 580
- Imechapishwa: 01/12/2019
Masuala ya sigara ni miongoni mwa mambo yenye kuudhi na yenye kudhuru pia. Vivyo hivyo mirungi inazingatiwa ni miongoni mwa vitu vyenye kudhuru mwili na kudhuru afya ya mtu. Ni kweli kwamba mirungi inadhuru mwili wako, mali yako na inapoteza muda wako. Kwa hiyo haina kheri yoyote ndani yake. Vi vitu vya khatari kwenye mioyo yetu.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 580
Imechapishwa: 01/12/2019
https://firqatunnajia.com/sigara-na-mirungi-vina-madhara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)