Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
15- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho azungumze [mambo ya] kheri au anyamaze; na yule anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho amkirimu jirani yake; na yule anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho amkirimu mgeni wake.”
Hadiyth hii inafahamisha kuwa miongoni mwa sifa za mwenye kumuamini Allaah na siku ya Mwisho, ambaye anamuogopa na kumcha Allaah, anaogopa yatayompitikia Aakhirah na anataraji kuwa ni mwenye kuokoka Aakhirah, miongoni mwa sifa zake ni kuwa:
1- Anazungumza mambo ya kheri au hunyamaza.
2- Anamkrimu jirani yake.
3- Anamkirimu mgeni.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 237
- Imechapishwa: 14/05/2020
Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
15- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho azungumze [mambo ya] kheri au anyamaze; na yule anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho amkirimu jirani yake; na yule anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho amkirimu mgeni wake.”
Hadiyth hii inafahamisha kuwa miongoni mwa sifa za mwenye kumuamini Allaah na siku ya Mwisho, ambaye anamuogopa na kumcha Allaah, anaogopa yatayompitikia Aakhirah na anataraji kuwa ni mwenye kuokoka Aakhirah, miongoni mwa sifa zake ni kuwa:
1- Anazungumza mambo ya kheri au hunyamaza.
2- Anamkrimu jirani yake.
3- Anamkirimu mgeni.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 237
Imechapishwa: 14/05/2020
https://firqatunnajia.com/sifa-tatu-kwa-anayemwamini-allaah-na-siku-ya-mwisho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)