Swali: Kuna sharti na vikwazo vipi vya Takfiyr?
Jibu: Takfiyr haitakiwi iwe midomoni kwa watu hapa na hapa. Wanachuoni na wale wenye uoni wa mbali ndio wanaoshughulikia maudhui haya. Wao ndio wanabeba jambo hili. Ama watu wote kwa jumla, wanafunzi ambao hawajakuwa imara na wale wanaoanza wasifanye Takfiyr ndio gumzo lao la hapa na hapa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 17/11/2018
Swali: Kuna sharti na vikwazo vipi vya Takfiyr?
Jibu: Takfiyr haitakiwi iwe midomoni kwa watu hapa na hapa. Wanachuoni na wale wenye uoni wa mbali ndio wanaoshughulikia maudhui haya. Wao ndio wanabeba jambo hili. Ama watu wote kwa jumla, wanafunzi ambao hawajakuwa imara na wale wanaoanza wasifanye Takfiyr ndio gumzo lao la hapa na hapa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
Imechapishwa: 17/11/2018
https://firqatunnajia.com/si-jambo-la-wanafunzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)