Kuhusiana na Hadiyth-ul-Qudsiy maana yake kwa njia ya istilahi wanachuoni wametofautiana. Wana maelezo mengi juu ya hilo. Kauli inayoenda sambamba na I´tiqaad ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ni kwamba, Hadiyth-ul-Qudsiy kwa njia ya matamshi yake inatokana na Allaah (Jalla wa ´Alaa) na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) huipokea kwa matamshi yake na hana haki (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kugeuza matamshi yake.
Wanachuoni wengine wamesema kuwa maana yake inatokana na Allaah (´Azza wa Jall) na matamshi yake yanatokana na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hivyo imeruhusiwa kwake kugeuza matamshi yake. Kauli hii haina dalili.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 339
- Imechapishwa: 14/05/2020
Kuhusiana na Hadiyth-ul-Qudsiy maana yake kwa njia ya istilahi wanachuoni wametofautiana. Wana maelezo mengi juu ya hilo. Kauli inayoenda sambamba na I´tiqaad ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ni kwamba, Hadiyth-ul-Qudsiy kwa njia ya matamshi yake inatokana na Allaah (Jalla wa ´Alaa) na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) huipokea kwa matamshi yake na hana haki (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kugeuza matamshi yake.
Wanachuoni wengine wamesema kuwa maana yake inatokana na Allaah (´Azza wa Jall) na matamshi yake yanatokana na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hivyo imeruhusiwa kwake kugeuza matamshi yake. Kauli hii haina dalili.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 339
Imechapishwa: 14/05/2020
https://firqatunnajia.com/shaykh-swaalih-aalush-shaykh-kuhusu-hadiyth-ul-qudsiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)