Swali: Kuna mtu yuko na hoja tata kuhusu kumfanyia uasi kiongozi. Amemsikia Shaykh aliyesema kuwa masuala hayo yana tofauti tangu hapo kale na akataja msimamo wa az-Zubayr dhidi ya al-Hajjaaj na vivyo hivyo al-Husayn [dhidi ya Yaziyd bin Mu´aawiyah]. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Mosi ni kwamba dalili ya kikweli inapatikana ndani ya Qur-aan na Sunnah. Akipatikana mtu ambaye amefanya kitendo na akakosea, haijalishi kitu ni nani, basi kosa lake halizingatiwi kuwa ni dalili dhidi ya Uislamu. Wakati alipofariki Mu´aawiyah (Radhiya Allaahu ´anh) Yaziyd ndiye ambaye alichukua uongozi. Hakutenda kwa mujibu wa ukhaliyfah kwa miaka thelathini na kisha baada ya hapo ukafuatiwa na utawala wa ufalme.
- Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Haqiyqat-ul-Bay´ah fiyl-Islaam wa Bayaan Shuruutwihaa wa Khatwar Naz´ihaa http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=148858
- Imechapishwa: 18/12/2020
Swali: Kuna mtu yuko na hoja tata kuhusu kumfanyia uasi kiongozi. Amemsikia Shaykh aliyesema kuwa masuala hayo yana tofauti tangu hapo kale na akataja msimamo wa az-Zubayr dhidi ya al-Hajjaaj na vivyo hivyo al-Husayn [dhidi ya Yaziyd bin Mu´aawiyah]. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Mosi ni kwamba dalili ya kikweli inapatikana ndani ya Qur-aan na Sunnah. Akipatikana mtu ambaye amefanya kitendo na akakosea, haijalishi kitu ni nani, basi kosa lake halizingatiwi kuwa ni dalili dhidi ya Uislamu. Wakati alipofariki Mu´aawiyah (Radhiya Allaahu ´anh) Yaziyd ndiye ambaye alichukua uongozi. Hakutenda kwa mujibu wa ukhaliyfah kwa miaka thelathini na kisha baada ya hapo ukafuatiwa na utawala wa ufalme.
Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Haqiyqat-ul-Bay´ah fiyl-Islaam wa Bayaan Shuruutwihaa wa Khatwar Naz´ihaa http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=148858
Imechapishwa: 18/12/2020
https://firqatunnajia.com/shaykh-amesema-kuwa-masuala-ya-uasi-kwa-kiongozi-yana-tofauti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)