Swali: Kuna mtu ameingiwa na utata kuhusiana na uasi kwa mtawala. Amemsikia Shaykh mwenye kusema kuwa ni suala lenye tofauti tokea hapo zamani na ametaja msimamo wa Ibn-uz-Zubayr kwa al-Hajjaaj na kadhalika al-Husayn [kwa Yaziyd bin Mu´aawiyah]. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Dalili ya hakika iko kwenye Qur-aan na Sunnah. Mtu, pasina kujali ni nani, akikosea, kosa lake haiwi ni dalili katika Uislamu. Wakati Mu´aawiyah (Radhiya Allaahu ´anh) alipofariki na Yaziyd akawa amechukua utawala. Hakutendea kazi kama ilivokuwa wakati wa makhaliyfah watatu ambapo baada yake kungefuatia ufalme.
- Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Haqiyqat-ul-Bay´ah fiyl-Islaam wa Bayaan Shuruwtihaa wa Khatwar Naz´ihaa
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Kuna mtu ameingiwa na utata kuhusiana na uasi kwa mtawala. Amemsikia Shaykh mwenye kusema kuwa ni suala lenye tofauti tokea hapo zamani na ametaja msimamo wa Ibn-uz-Zubayr kwa al-Hajjaaj na kadhalika al-Husayn [kwa Yaziyd bin Mu´aawiyah]. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Dalili ya hakika iko kwenye Qur-aan na Sunnah. Mtu, pasina kujali ni nani, akikosea, kosa lake haiwi ni dalili katika Uislamu. Wakati Mu´aawiyah (Radhiya Allaahu ´anh) alipofariki na Yaziyd akawa amechukua utawala. Hakutendea kazi kama ilivokuwa wakati wa makhaliyfah watatu ambapo baada yake kungefuatia ufalme.
Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Haqiyqat-ul-Bay´ah fiyl-Islaam wa Bayaan Shuruwtihaa wa Khatwar Naz´ihaa
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/shaykh-amesema-kuwa-kuna-tofauti-juu-ya-uasi-kwa-mtawala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)