Swali: Je, inajuzu kula vichinjwa vya Ahl-ul-Kitaab pasi na sharti zozote?
Jibu: Sharti iwe wamechinja kwa njia ya Kishari´ah. Ama ikiwa wanachinja kinyume na njia ya Kishari´ah, kama kwa kutumia umeme, haijuzu sawa ikiwa kwa Waislamu wala Ahl-ul-Kitaab. Ni lazima kuchinja iwe kwa njia ya Kishari´ah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14340421.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Je, inajuzu kula vichinjwa vya Ahl-ul-Kitaab pasi na sharti zozote?
Jibu: Sharti iwe wamechinja kwa njia ya Kishari´ah. Ama ikiwa wanachinja kinyume na njia ya Kishari´ah, kama kwa kutumia umeme, haijuzu sawa ikiwa kwa Waislamu wala Ahl-ul-Kitaab. Ni lazima kuchinja iwe kwa njia ya Kishari´ah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14340421.mp3
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/sharti-ya-kula-vichinjo-vya-ahl-ul-kitaab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)