Swali: Mwenye kuchezea shere kitu katika Shari´ah za Uislamu kisha akatubu ni lazima atamke shahaadah mbili?
Jibu: Akitubu basi itambulike kuwa tawbah inafuta yaliyo kabla yake.
Swali: Atalazimika kutamka shahaadah mbili ili afanye upya Uislamu wake?
Jibu: Hapana, si lazima. Itatosha akubali kosa lake na atubu. Baadhi ya Fuqahaa´ wanaona kuwa atamke shahaadah mbili. Kwani kufanya hivo ni kukubali kile alichokipinga. Kwa mfano akisema kuwa swalah au swawm sio lazima. Kisha akatubu basi Allaah anamsamehe na inatosha kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 99
- Imechapishwa: 27/07/2019
Swali: Mwenye kuchezea shere kitu katika Shari´ah za Uislamu kisha akatubu ni lazima atamke shahaadah mbili?
Jibu: Akitubu basi itambulike kuwa tawbah inafuta yaliyo kabla yake.
Swali: Atalazimika kutamka shahaadah mbili ili afanye upya Uislamu wake?
Jibu: Hapana, si lazima. Itatosha akubali kosa lake na atubu. Baadhi ya Fuqahaa´ wanaona kuwa atamke shahaadah mbili. Kwani kufanya hivo ni kukubali kile alichokipinga. Kwa mfano akisema kuwa swalah au swawm sio lazima. Kisha akatubu basi Allaah anamsamehe na inatosha kufanya hivo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 99
Imechapishwa: 27/07/2019
https://firqatunnajia.com/shahaadah-upya-baada-ya-kukufuru/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)