Swali: Ni ipi hukumu ya kuita mji wa al-Madiynah “al-Madiynah al-Munawwarah”?
Jibu: Jina “al-Madiynah al-Munawwarah” limetangaa kwa watu. Lakini kitu hichi kimetokea baadaye. Vitabu vyote vya kale walikuwa wakisema “al-Madiynah” pekee au wakati mwingine wanasema “al-Madiynah an-Nabawiyyah”. Uhalisia wa mambo ni kwamba al-Madiynah al-Munawwarah sio jambo la kipekee juu ya mji wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa sababu kila mji ambao Uislamu uliingia ndani yake uliangazwa na Uislamu. Kwa sababu hiyo al-Madiynah an-Nabawiyyah haiwi na sifa ya kipekee ikiwa tutasema “al-Madiynah al-Munawwarah”. Lakini pamoja na haya hatusemi kuwa ni haramu. Bali tunasema kwamba hili ni jina ambalo watu wamezowea. Hivyo hakuna ubaya. Lakini bora ni kusema “al-Madiynah an-Nabawiyyah.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (66) http://binothaimeen.net/content/1500
- Imechapishwa: 07/02/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuita mji wa al-Madiynah “al-Madiynah al-Munawwarah”?
Jibu: Jina “al-Madiynah al-Munawwarah” limetangaa kwa watu. Lakini kitu hichi kimetokea baadaye. Vitabu vyote vya kale walikuwa wakisema “al-Madiynah” pekee au wakati mwingine wanasema “al-Madiynah an-Nabawiyyah”. Uhalisia wa mambo ni kwamba al-Madiynah al-Munawwarah sio jambo la kipekee juu ya mji wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa sababu kila mji ambao Uislamu uliingia ndani yake uliangazwa na Uislamu. Kwa sababu hiyo al-Madiynah an-Nabawiyyah haiwi na sifa ya kipekee ikiwa tutasema “al-Madiynah al-Munawwarah”. Lakini pamoja na haya hatusemi kuwa ni haramu. Bali tunasema kwamba hili ni jina ambalo watu wamezowea. Hivyo hakuna ubaya. Lakini bora ni kusema “al-Madiynah an-Nabawiyyah.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (66) http://binothaimeen.net/content/1500
Imechapishwa: 07/02/2020
https://firqatunnajia.com/sawa-ni-al-madiynah-an-nabawiyyah-badala-ya-al-madiynah-al-munawwarah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)