Swali: Huku kwetu kuna al-Ikhwaan al-Muslimuun wengi, Suruuriyyuun na Jamaa´at-ut-Tabliygh wakati Salafiyyuun ni wachache mno. Ni vipi unatakiwa kuwa msimamo wa mtu kati ya mapote haya?

Jibu: Hili limeshaulizwa. Jitenge mbali na wao.

Kuhusiana na Jamaa´at-ut-Tabliyg, ninapendelea kitabu cha Shaykh muheshimiwa Hamuud at-Tuwayjiriy “al-Qawl al-Baliygh fiyt-Tahdhiyr min Jamaa´at-it-Tabliygh”.

  • Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb (128)
  • Imechapishwa: 04/09/2020