Kutokana na yale tuliyojifunza na kuona katika yale makundi ya leo yaliopo ulimwenguni, hatumuoni ambaye anajaribu kuisogelea Qur-aan na Sunnah isipokuwa wale wanaojiita Ahl-ul-Hadiyth, Answaar-us-Sunnah katika baadhi ya miji, Salafiyyuun katika miji mingine, Ahl-ul-Hadiyth katika miji mingine na kadhalika.
Kuhusu wale wanaojinasibisha katika makundi mengine, hawajengei hoja kwa Qur-aan na Sunnah katika nyanja zote zinazohusiana na maisha yao binafsi, maisha yao ya jumla, fikira zao, siasa na mengineyo. Hatuwaoni wale ambao daima hutilia mkazo Qur-aan na Sunnah isipokuwa tu kutamka neno:
“Tunafata Qur-aan na Sunnah.”
Kila mmoja anasema hivo, lakini tupeni dalili yenye kuonyesha kuwa mnafata Qur-aan na Sunnah. Hutopata jawabu lolote.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Juddah (1)
- Imechapishwa: 19/06/2021
Kutokana na yale tuliyojifunza na kuona katika yale makundi ya leo yaliopo ulimwenguni, hatumuoni ambaye anajaribu kuisogelea Qur-aan na Sunnah isipokuwa wale wanaojiita Ahl-ul-Hadiyth, Answaar-us-Sunnah katika baadhi ya miji, Salafiyyuun katika miji mingine, Ahl-ul-Hadiyth katika miji mingine na kadhalika.
Kuhusu wale wanaojinasibisha katika makundi mengine, hawajengei hoja kwa Qur-aan na Sunnah katika nyanja zote zinazohusiana na maisha yao binafsi, maisha yao ya jumla, fikira zao, siasa na mengineyo. Hatuwaoni wale ambao daima hutilia mkazo Qur-aan na Sunnah isipokuwa tu kutamka neno:
“Tunafata Qur-aan na Sunnah.”
Kila mmoja anasema hivo, lakini tupeni dalili yenye kuonyesha kuwa mnafata Qur-aan na Sunnah. Hutopata jawabu lolote.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Juddah (1)
Imechapishwa: 19/06/2021
https://firqatunnajia.com/salafiyyuun-peke-yao-ndio-wanafata-qur-aan-na-sunnah-katika-kila-kitu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)