Swali: Ni ipi hukumu ya safati za utalii katika ile miji ambayo inaitwa ni ya Kiislamu lakini ambayo imesheheni madhambi kama vile mchanganyiko na uchawi?
Jibu: Ikiwa kuna khofu kwa yule msafiri akaathirika na mambo haya, haijuzu kwake kusafiri huko. Anatakiwa kuihifadhi dini na heshima yake. Haifai kwake akasafiri kwenda huko hata kama inaitwa ni ya Kiislamu. Haifai kwake akasafiri kwenda huko ikiwa kuna machafu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 18/09/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya safati za utalii katika ile miji ambayo inaitwa ni ya Kiislamu lakini ambayo imesheheni madhambi kama vile mchanganyiko na uchawi?
Jibu: Ikiwa kuna khofu kwa yule msafiri akaathirika na mambo haya, haijuzu kwake kusafiri huko. Anatakiwa kuihifadhi dini na heshima yake. Haifai kwake akasafiri kwenda huko hata kama inaitwa ni ya Kiislamu. Haifai kwake akasafiri kwenda huko ikiwa kuna machafu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
Imechapishwa: 18/09/2017
https://firqatunnajia.com/safari-za-utalii-katika-miji-inayoitwa-ya-kiislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)