Swali: Je, mke amuombe ruhusa mume wake katika swawm ya nadhiri?
Jibu: Swawm ya nadhiri na kafara zinatakiwa kuangaliwa vizuri; ikiwa ni swawm ambayo haikufungamanishwa (مطلقًا), basi anaweza kuichelewesha na ikiwa ameifungamanisha basi anatakiwa kuiharakisha na inaungana na swawm ya faradhi. Kuifungamanisha ni kulenga kufunga siku maalum au mwezi maalum. Kwa sababu ni faradhi. Lakini ikiwa haikufungamanishwa anaruhusiwa kuichelewesha mpaka wakati fulani.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21656/هل-تستاذن-المراة-زوجها-في-صوم-النذر
- Imechapishwa: 05/09/2022
Swali: Je, mke amuombe ruhusa mume wake katika swawm ya nadhiri?
Jibu: Swawm ya nadhiri na kafara zinatakiwa kuangaliwa vizuri; ikiwa ni swawm ambayo haikufungamanishwa (مطلقًا), basi anaweza kuichelewesha na ikiwa ameifungamanisha basi anatakiwa kuiharakisha na inaungana na swawm ya faradhi. Kuifungamanisha ni kulenga kufunga siku maalum au mwezi maalum. Kwa sababu ni faradhi. Lakini ikiwa haikufungamanishwa anaruhusiwa kuichelewesha mpaka wakati fulani.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21656/هل-تستاذن-المراة-زوجها-في-صوم-النذر
Imechapishwa: 05/09/2022
https://firqatunnajia.com/ruhusa-ya-mke-juuya-kufunga-swawm-ya-nadhiri-na-kafara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)