Swali: Kafara inamlazimu msafiri akimwingilia mke wake katika hali ya safari katika mwezi wa Ramadhaan?
Jibu: Hapana wakiwa ni wasafiri. Mume na mke wote wawili wakiwa ni wasafiri mume ana haki ya kumjamii mke wake. Ni kama ambavo inafaa kwao kula na kunywa. Ambaye amewaruhusu kula na kunywa amewaruhusu pia kufanya jimaa. Ama mke akiwa ni msafiri na mume akawa sio msafiri haifai kwake kumjamii.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdil-´Aziyz bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/3769/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%AC%D9%85%D8%A7%D8%B9-%D9%84%D8%B2%D9%88%D8%AC%D9%8A%D9%86-%D9%85%D8%B3%D8%A7%D9%81%D8%B1%D9%8A%D9%86-%D8%A8%D9%86%D9%87%D8%A7%D8%B1-%D8%B1%D9%85%D8%B6%D8%A7%D9%86
- Imechapishwa: 08/04/2020
Swali: Kafara inamlazimu msafiri akimwingilia mke wake katika hali ya safari katika mwezi wa Ramadhaan?
Jibu: Hapana wakiwa ni wasafiri. Mume na mke wote wawili wakiwa ni wasafiri mume ana haki ya kumjamii mke wake. Ni kama ambavo inafaa kwao kula na kunywa. Ambaye amewaruhusu kula na kunywa amewaruhusu pia kufanya jimaa. Ama mke akiwa ni msafiri na mume akawa sio msafiri haifai kwake kumjamii.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdil-´Aziyz bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/3769/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%AC%D9%85%D8%A7%D8%B9-%D9%84%D8%B2%D9%88%D8%AC%D9%8A%D9%86-%D9%85%D8%B3%D8%A7%D9%81%D8%B1%D9%8A%D9%86-%D8%A8%D9%86%D9%87%D8%A7%D8%B1-%D8%B1%D9%85%D8%B6%D8%A7%D9%86
Imechapishwa: 08/04/2020
https://firqatunnajia.com/ruhusa-kwa-wanandoa-kujamiiana-safarini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)