Uliza swali kuhusiana na darsa hapo chini
Karibu katika darsa

Salaf160396
Ipi hukmu ya kukanyaga makaburi kutokana nakuwamengi kiasi ambacho hakunasehemu yakupita ila kwa kuyakanyaga na kutokana na makosa yanayotendeka yakuj
















Salaf165265
Assalam aleykum warhamatulah wabarakatuh,nawapata kutokea kilombero -Tanzania,tunamuomba shekh atutembelee siku moja






Salaf167564
Naomba kuuliza je ni IPI hukmu ya mtu anaeangalia picha na video za ngono(sHaturuhusu maneno mabaya!x) ktk uislaam ,na jee ni ipi toba yakee


Salaf167224
Swali langu je nikiswali swalaatu fajr imamu akileta kunut hali yakuwa me spend kunuti ni itikie au nikae kimya????
Idadi ya watu: 0