Swali: Wakati wa kujumuisha Swalah ya Maghrib na ´Ishaa ni lini mtu ataswali Sunnah za Rawaatib ya Maghrib na ´Ishaa?
Jibu: Baada ya ´Ishaa. Utaziswali moja kwa moja baada ya ´Ishaa. Hata Qiyaam-ul-Layl na Witr anaweza kuziswali baada ya ´Ishaa hata kama itakuwa ni katika wakati wa Maghrib
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: SharhZaad-ul-Ma´aad (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-4-23.mp3
- Imechapishwa: 09/11/2014
Swali: Wakati wa kujumuisha Swalah ya Maghrib na ´Ishaa ni lini mtu ataswali Sunnah za Rawaatib ya Maghrib na ´Ishaa?
Jibu: Baada ya ´Ishaa. Utaziswali moja kwa moja baada ya ´Ishaa. Hata Qiyaam-ul-Layl na Witr anaweza kuziswali baada ya ´Ishaa hata kama itakuwa ni katika wakati wa Maghrib
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: SharhZaad-ul-Ma´aad (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-4-23.mp3
Imechapishwa: 09/11/2014
https://firqatunnajia.com/rawaatib-wakati-wa-kujumuisha-maghrib-na-ishaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)