Swali: Ni matendo gani ya kheri ya kufanya yaliyokokotezwa katika mwezi wa Ramadhaan?
Jibu: Matendo ya kheri ya kufanya yaliyokokotezwa Ramadhaan ni mengi. Muhimu miongoni mwayo:
1- Kuhifadhi kutekeleza yale aliyofaradhisha Allaah katika Ramadhaan na nje ya Ramadhaan kukiwemo swalah na swawm.
2- Baada ya hapo mtu akithirishe kufanya ´ibaadah za Sunnah kukiwemo swalah, tarawiyh, tahajjud, swadaqah na i´tikaaf.
3- Mtu akithirishe kuleta Adhkaar kama kusema “Subhaan Allaah”, “Laa ilaaha illa Allaah” na “Allaahu Akbar”.
4- Kukaa misikitini kwa ajili ya kufanya ´ibaadah ndani yake.
5- Mtu vilevile ailinde swawm yake kutokamana na maneno na matendo vya haramu au vilivyochukizwa ambavyo ima vinaiharibu au kuitia kasoro.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaam al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14891
- Imechapishwa: 09/06/2017
Swali: Ni matendo gani ya kheri ya kufanya yaliyokokotezwa katika mwezi wa Ramadhaan?
Jibu: Matendo ya kheri ya kufanya yaliyokokotezwa Ramadhaan ni mengi. Muhimu miongoni mwayo:
1- Kuhifadhi kutekeleza yale aliyofaradhisha Allaah katika Ramadhaan na nje ya Ramadhaan kukiwemo swalah na swawm.
2- Baada ya hapo mtu akithirishe kufanya ´ibaadah za Sunnah kukiwemo swalah, tarawiyh, tahajjud, swadaqah na i´tikaaf.
3- Mtu akithirishe kuleta Adhkaar kama kusema “Subhaan Allaah”, “Laa ilaaha illa Allaah” na “Allaahu Akbar”.
4- Kukaa misikitini kwa ajili ya kufanya ´ibaadah ndani yake.
5- Mtu vilevile ailinde swawm yake kutokamana na maneno na matendo vya haramu au vilivyochukizwa ambavyo ima vinaiharibu au kuitia kasoro.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaam al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14891
Imechapishwa: 09/06/2017
https://firqatunnajia.com/ramadhaan-inafuta-madhambi-makubwa-ya-mtu-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)