Swali: Kuna baadhi ya watu wanaoswali baada ya ijumaa Rak´ah nne kwa Tasliym moja. Je, kitendo chao hichi kinakubalika Kishari´ah?
Jibu: Jana tulisema kwamba mchana inafaa kwa mtu kuswali [swalah za] sunnah zenye Rak´ah nne kwa Tasliym moja. Lakini lililo bora zaidi ni mtu aziachanishe mara mbili kwa Tasliym.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-26-10-1434.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Kuna baadhi ya watu wanaoswali baada ya ijumaa Rak´ah nne kwa Tasliym moja. Je, kitendo chao hichi kinakubalika Kishari´ah?
Jibu: Jana tulisema kwamba mchana inafaa kwa mtu kuswali [swalah za] sunnah zenye Rak´ah nne kwa Tasliym moja. Lakini lililo bora zaidi ni mtu aziachanishe mara mbili kwa Tasliym.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-26-10-1434.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/rakah-nne-za-sunnah-mchana-kwa-tasliym-moja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)