Swali: Hivi sasa kuna maswali mengi yemeuliza kuhusu fatwa iliyoenea inayojuzisha nyimbo zinazopitishwa kwenye TV kwa madai ya kwamba haziamshi hisia. Unasemaje juu ya fatwa hii[1]?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameharamisha nyimbo na firimbi. Vilevile wanachuoni wameafikiana juu ya hilo, kama alivyosema Shaykh-ul-islaam Ibn Taymiyyah. Asije mtu akavua kitu katika mambo hayo na akafanya kitu kuwa maalum kwamba kinaruhusiwa ilihali Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza na kuharamisha mambo hayo. Haijuzu. Nyimbo aina zote ni
[1] Tazama https://www.youtube.com/watch?v=FweLnxFHXXs
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=TMP0BmfkRdc
- Imechapishwa: 03/05/2018
Swali: Hivi sasa kuna maswali mengi yemeuliza kuhusu fatwa iliyoenea inayojuzisha nyimbo zinazopitishwa kwenye TV kwa madai ya kwamba haziamshi hisia. Unasemaje juu ya fatwa hii[1]?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameharamisha nyimbo na firimbi. Vilevile wanachuoni wameafikiana juu ya hilo, kama alivyosema Shaykh-ul-islaam Ibn Taymiyyah. Asije mtu akavua kitu katika mambo hayo na akafanya kitu kuwa maalum kwamba kinaruhusiwa ilihali Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza na kuharamisha mambo hayo. Haijuzu. Nyimbo aina zote ni
[1] Tazama
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=TMP0BmfkRdc
Imechapishwa: 03/05/2018
https://firqatunnajia.com/radd-kwa-al-mughaamisiy-kujuzisha-ala-za-muziki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)