Swali: Mimi huswali Maghrib ninapokuwa njiani na hutoka moja kwa moja baada ya swalah ili niwahi darsa. Ninapoingia msikitini huswali swalah ya mamkuzi ya msikiti na nikanuia kwa swalah hiyo Sunnah ya Raatibah. Je, nifanyavo ni sawa?
Jibu: Kitendo chako hichi ni sawa. Ni kama ambavo mtu akija na akakuta kumeshakimiwa swalah basi swalah ya faradhi inatosheleza kutokamana na swalah ya mamkuzi ya msikiti.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
- Imechapishwa: 16/07/2021
Swali: Mimi huswali Maghrib ninapokuwa njiani na hutoka moja kwa moja baada ya swalah ili niwahi darsa. Ninapoingia msikitini huswali swalah ya mamkuzi ya msikiti na nikanuia kwa swalah hiyo Sunnah ya Raatibah. Je, nifanyavo ni sawa?
Jibu: Kitendo chako hichi ni sawa. Ni kama ambavo mtu akija na akakuta kumeshakimiwa swalah basi swalah ya faradhi inatosheleza kutokamana na swalah ya mamkuzi ya msikiti.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
Imechapishwa: 16/07/2021
https://firqatunnajia.com/raatibah-na-tahiyyat-ul-masjid-kwa-nia-moja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)