Swali: Je, inajuzu kusema herufi kwenye karatasi za Qur-aan zimeumbwa?
Jibu: Maneno ni ya Allaah. Wino na makaratasi ni sanaa yenu. Uandishi ni wetu. Ndio maana baadhi ya hati zinakuwa nzuri na zingine zinakuwa si nzuri. Ni matendo yetu. Ama kuhusiana na Qur-aan, yote imepangwa na nzuri. Hata hivyo uandishi ni wa kwetu na ni matendo yetu. Wino ni wa kwetu. Makaratasi ni yetu. Pamoja na hivyo kilichoandikwa ni maneno ya Allaah. Kinachosomwa ni maneno ya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–02041434.mp3
- Imechapishwa: 27/06/2015
Swali: Je, inajuzu kusema herufi kwenye karatasi za Qur-aan zimeumbwa?
Jibu: Maneno ni ya Allaah. Wino na makaratasi ni sanaa yenu. Uandishi ni wetu. Ndio maana baadhi ya hati zinakuwa nzuri na zingine zinakuwa si nzuri. Ni matendo yetu. Ama kuhusiana na Qur-aan, yote imepangwa na nzuri. Hata hivyo uandishi ni wa kwetu na ni matendo yetu. Wino ni wa kwetu. Makaratasi ni yetu. Pamoja na hivyo kilichoandikwa ni maneno ya Allaah. Kinachosomwa ni maneno ya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–02041434.mp3
Imechapishwa: 27/06/2015
https://firqatunnajia.com/qur-aan-ni-maneno-ya-allaah-na-wino-na-makaratasi-ni-sanaa-yetu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)