Swali: Umetaja kwamba Qur-aan ni miujiza ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, anayo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) miujiza ya kihisia kama miujiza ya Manabii na Mitume wengine?
Jibu: Anayo miujiza mingi. Lakini mkubwa zaidi ni Qur-aan tukufu. Ndio miujiza mkubwa zaidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
- Imechapishwa: 14/09/2020
Swali: Umetaja kwamba Qur-aan ni miujiza ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, anayo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) miujiza ya kihisia kama miujiza ya Manabii na Mitume wengine?
Jibu: Anayo miujiza mingi. Lakini mkubwa zaidi ni Qur-aan tukufu. Ndio miujiza mkubwa zaidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
Imechapishwa: 14/09/2020
https://firqatunnajia.com/qur-aan-ndio-miujiza-mkubwa-wa-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)