Swali: Je, punda anavunja swalah ya faradhi?
Jibu: Kupita kwa punda kunavunja swalah ya sunnah na ya faradhi. Haya ndio maoni ya sawa. Hapa ni pale ambapo atapita karibu naye na baina yake yeye na huyo punda kuna chini ya dhiraa tatu au baina yake yeye na huyo punda kuna sutrah. Ama akipita mbali haathiri.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 09/08/2019
Swali: Je, punda anavunja swalah ya faradhi?
Jibu: Kupita kwa punda kunavunja swalah ya sunnah na ya faradhi. Haya ndio maoni ya sawa. Hapa ni pale ambapo atapita karibu naye na baina yake yeye na huyo punda kuna chini ya dhiraa tatu au baina yake yeye na huyo punda kuna sutrah. Ama akipita mbali haathiri.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 09/08/2019
https://firqatunnajia.com/punda-akipita-mbele-ya-mswaliji-anaharibu-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)