Swali: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Linapoanguka tonge la mmoja wenu, basi aliondoshe uchafu na alile na wala asimwachie shaytwaan.”[1]
Nifanye nini ikiwa tonge hilo siwezi kuliondosha uchafu?
Jibu: Ikiwa huwezi kuliondosha uchafu na limechanganyikana na uchafu, hakuna la kufanya. Lakini hata hivyo liweke sehemu ambayo ni safi kwa ajili ya kuitukuza neema.
[1] at-Tirmidhiy (1862).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Linapoanguka tonge la mmoja wenu, basi aliondoshe uchafu na alile na wala asimwachie shaytwaan.”[1]
Nifanye nini ikiwa tonge hilo siwezi kuliondosha uchafu?
Jibu: Ikiwa huwezi kuliondosha uchafu na limechanganyikana na uchafu, hakuna la kufanya. Lakini hata hivyo liweke sehemu ambayo ni safi kwa ajili ya kuitukuza neema.
[1] at-Tirmidhiy (1862).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/pindi-huwezi-kuondosha-uchafu-kutoka-kwenye-tonge-lililoanguka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)