Swali: Unasemaje kumchukua picha mtu kwa nyuma?
Ibn ´Uthaymiyn: Inakuweje?
Muulizaji: Baadhi wanafanya hivo kwa ajili ya kumbukumbu?
Ibn ´Uthaymiyn: Kumbukumbu haiko mgongoni. Utamkumbuka kupitia mgongo wake?
Muulizaji: Baadhi ya wasafiri wanachukua picha hizo kwa ajili ya kumbukumbu.
Ibn ´Uthaymiyn: Ni jambo lisilosilihi. Ni jambo nisiloweze kulifikiria. Unamchukua picha mtu usiyemjua kwa nyuma? Hakuna kitu kama hicho.
Muulizaji: Yanafanyike Shaykh.
Ibn ´Uthaymiyn: Kama yanafanyika basi huo ni upumbavu. Sitoi fatwa yoyote juu ya hilo. Ni upumbavu na si chochote.
Swali: Si chochote?
Jibu: Ni upumbavu. Ni kitu kisichowezekana.
Muulizaji: Kinafanyika Shaykh.
Swali: Mafunzo kwa nyuma? Kwa hali yoyote ni upumbavu. Na kama tukikadiria kuwa kitu hicho kinafanyika basi hakizingatiwi kuwa ni picha. Kitendo hicho ni kama mfano kivuli cha mtu anayetembea juani.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (150 B)
- Imechapishwa: 04/06/2020
Swali: Unasemaje kumchukua picha mtu kwa nyuma?
Ibn ´Uthaymiyn: Inakuweje?
Muulizaji: Baadhi wanafanya hivo kwa ajili ya kumbukumbu?
Ibn ´Uthaymiyn: Kumbukumbu haiko mgongoni. Utamkumbuka kupitia mgongo wake?
Muulizaji: Baadhi ya wasafiri wanachukua picha hizo kwa ajili ya kumbukumbu.
Ibn ´Uthaymiyn: Ni jambo lisilosilihi. Ni jambo nisiloweze kulifikiria. Unamchukua picha mtu usiyemjua kwa nyuma? Hakuna kitu kama hicho.
Muulizaji: Yanafanyike Shaykh.
Ibn ´Uthaymiyn: Kama yanafanyika basi huo ni upumbavu. Sitoi fatwa yoyote juu ya hilo. Ni upumbavu na si chochote.
Swali: Si chochote?
Jibu: Ni upumbavu. Ni kitu kisichowezekana.
Muulizaji: Kinafanyika Shaykh.
Swali: Mafunzo kwa nyuma? Kwa hali yoyote ni upumbavu. Na kama tukikadiria kuwa kitu hicho kinafanyika basi hakizingatiwi kuwa ni picha. Kitendo hicho ni kama mfano kivuli cha mtu anayetembea juani.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (150 B)
Imechapishwa: 04/06/2020
https://firqatunnajia.com/picha-ya-kipumbavu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)